Ufunuo wa Yohana 18 : 8 Revelation chapter 18 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
Ufunuo wa Yohana 18:8
Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu.
|
Revelation 18:8Therefore in one day her plagues will come: death, mourning, and famine; and she will be utterly burned with fire; for the Lord God who has judged her is strong. |