Ufunuo wa Yohana 18 : 8 Revelation chapter 18 verse 8

Swahili English Translation

Ufunuo wa Yohana 18:8

Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu.
soma Mlango wa 18

Revelation 18:8

Therefore in one day her plagues will come: death, mourning, and famine; and she will be utterly burned with fire; for the Lord God who has judged her is strong.